Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 8:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

19 Tazama, furaha ya njia yake ni hii, Na wengine watachipuka kutoka katika nchi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Tazama, huo ndio mwisho wa furaha ya mtu huyo, na mahali pao patachipua wengine.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Tazama, huo ndio mwisho wa furaha ya mtu huyo, na mahali pao patachipua wengine.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Tazama, huo ndio mwisho wa furaha ya mtu huyo, na mahali pao patachipua wengine.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Hakika uhai wake hunyauka, na kutoka udongoni mimea mingine huota.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Hakika uhai wake hunyauka, na kutoka udongoni mimea mingine huota.

Tazama sura Nakili




Yobu 8:19
8 Marejeleo ya Msalaba  

Ya kuwa shangwe ya waovu ni kwa muda kidogo, Na furaha ya wapotovu ni ya dakika moja tu?


Tazama, Mungu hatamtupa mtu mkamilifu, Wala hatawathibitisha watendao uovu.


Humwinua mnyonge kutoka mavumbini, Na kumpandisha maskini kutoka jaani.


Bali Mungu ndiye ahukumuye; Humdhili huyu na kumwinua huyu.


Na miti yote ya mashamba itajua ya kuwa mimi, BWANA, nimeushusha chini mti mrefu, na kuuinua mti mfupi, na kuukausha mti mbichi, na kuusitawisha mti mkavu; mimi, BWANA, nimenena, nami nimelitenda jambo hili.


wala msiwaze mioyoni mwenu kwamba, Tunaye baba, ndiye Abrahamu; kwa maana nawaambia ya kwamba Mungu aweza katika mawe haya kumwinulia Abrahamu watoto.


Humwinua mnyonge kutoka mavumbini, Humpandisha mhitaji kutoka jaani, Ili awaketishe pamoja na wakuu, Wakakirithi kiti cha enzi cha utukufu; Kwa maana nguzo za dunia zina BWANA, Naye ameuweka ulimwengu juu yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo