Yobu 8:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC18 Lakini, aking'olewa mahali pake, Ndipo patamkana, na kusema, Mimi sikukuona. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Lakini akiangamizwa kutoka makao yake, hayo yatamkana yakisema: ‘Sijapata kukuona.’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Lakini akiangamizwa kutoka makao yake, hayo yatamkana yakisema: ‘Sijapata kukuona.’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Lakini akiangamizwa kutoka makao yake, hayo yatamkana yakisema: ‘Sijapata kukuona.’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Unapong’olewa kutoka mahali pake, ndipo mahali pale huukana na kusema, ‘Mimi kamwe sikukuona.’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Unapong’olewa kutoka mahali pake, ndipo mahali pale huukana na kusema, ‘Mimi kamwe sikukuona.’ Tazama sura |