Yobu 8:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC17 Mizizi yake huzongazonga chuguu, Huangalia mahali penye mawe. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Mizizi yake hujisokotasokota kwenye mawe naye aenda kuchunguza ndani ya mwamba. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Mizizi yake hujisokotasokota kwenye mawe naye aenda kuchunguza ndani ya mwamba. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Mizizi yake hujisokotasokota kwenye mawe naye aenda kuchunguza ndani ya mwamba. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 huifunganisha mizizi yake kwenye lundo la mawe, na kutafuta nafasi kati ya mawe. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 huifunganisha mizizi yake kwenye lundo la mawe, na kutafuta nafasi katikati ya mawe. Tazama sura |
Kwa hiyo kama vile muali wa moto uteketezavyo mabua makavu, na kama manyasi makavu yaangukavyo katika muali wa moto; kadhalika shina lao litakuwa kama ubovu, na ua lao litapeperushwa juu kama mavumbi; kwa sababu wameikataa sheria ya BWANA wa majeshi, na kulidharau neno lake aliye Mtakatifu wa Israeli.