Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 8:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

15 Ataitegemea nyumba yake, isisimame; Atashikamana nayo, isidumu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Wanaegemea nyumba yao lakini haitasimama, huishikilia lakini haidumu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Wanaegemea nyumba yao lakini haitasimama, huishikilia lakini haidumu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Wanaegemea nyumba yao lakini haitasimama, huishikilia lakini haidumu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Huutegemea utando wake, lakini hausimami; huung’ang’ania, lakini haudumu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Huutegemea utando wake, lakini hausimami; huung’ang’ania, lakini haudumu.

Tazama sura Nakili




Yobu 8:15
12 Marejeleo ya Msalaba  

Atang'olewa katika hema yake aliyokuwa akiitumaini; Naye atapelekwa kwake mfalme wa vitisho.


Yeye hujenga nyumba yake kama mdudu, Na kama kibanda afanyacho mlinzi.


Hao wakuchukiao watavikwa aibu; Nayo hema yake mwovu haitakuwako tena.


Asiye haki ataona na kusikitika, Atasaga meno yake na kuondoka, Matumaini ya wasio haki hupotea.


Makaburi ni nyumba zao hata milele, Maskani zao vizazi hata vizazi. Japo waliwahi kuyamiliki mashamba, Kwa majina yao wenyewe.


Matumaini yao wenye haki yatakuwa furaha; Bali matarajio yao wasio haki yatapotea.


Nyumba ya mtu mwovu itabomolewa; Bali hema la mwenye haki litafanikiwa.


ninyi mnaolifurahia jambo lisilo na maana, msemao, Je! Hatukujipatia pembe kwa nguvu zetu wenyewe?


Nitaituma itokee, asema BWANA wa majeshi, nayo itaingia katika nyumba ya mwizi, na katika nyumba ya yeyote aapaye kwa uongo kwa jina langu; nayo itakaa katika nyumba yake, na kuiteketeza, pamoja na boriti zake na mawe yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo