Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 7:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

8 Jicho lake huyo anionaye halitaniangalia tena; Macho yako yatanielekea, lakini sitakuwapo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Anayeniona sasa, hataniona tena, punde tu ukinitazama nitakuwa nimetoweka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Anayeniona sasa, hataniona tena, punde tu ukinitazama nitakuwa nimetoweka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Anayeniona sasa, hataniona tena, punde tu ukinitazama nitakuwa nimetoweka.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Lile jicho linaloniona sasa halitaniona tena; utanitafuta, wala sitakuwepo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Lile jicho linaloniona sasa halitaniona tena; utanitafuta, wala sitakuwepo.

Tazama sura Nakili




Yobu 7:8
14 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini sasa amekufa nifungie nini? Je! Naweza kumrudisha tena? Mimi nitakwenda kwake lakini yeye hatanirudia mimi.


Waitia miguu yangu katika mkatale, na kuyakagua mapito yangu yote; Wajiandikia alama kuzizunguka nyayo za miguu yangu;


Lakini mwanadamu hufa, hufariki dunia; Naam, mwanadamu hukata roho, naye yupo wapi?


Nawe, je! Wafumbua macho yako kumwangalia mtu kama yeye, Na kunitia katika hukumu pamoja nawe?


Ataruka mfano wa ndoto, asionekane; Naam, atafukuzwa kama maono ya usiku,


Jicho lililomwona halitamwona tena; Wala mahali pake hapatamtazama tena.


Yeye hujilaza hali ni tajiri, lakini ndio mwisho; Hufunua macho yake, naye hayuko.


Maana hapo ningelala na kutulia; Ningelala usingizi; na kupata kupumzika;


Nawe, je! Mbona hunisamehe makosa yangu, Na kuniondolea maovu yangu? Kwa kuwa sasa nitalala mavumbini; Nawe utanitafuta kwa bidii, lakini sitakuwapo.


Lakini, aking'olewa mahali pake, Ndipo patamkana, na kusema, Mimi sikukuona.


Maana upepo hupita juu yake, na kutoweka! Lisionekane mahali lilipokuwa tena.


Nikapita na kumbe! Hayuko, Nikamtafuta wala hakuonekana.


Ukimrudi mtu kwa kumkemea kwa uovu wake, Watowesha uzuri wake kama nondo. Kila mwanadamu ni ubatili.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo