Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 7:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 Na kumwangalia kila asubuhi, Na kumjaribu kila dakika?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Wewe waja kumchunguza kila asubuhi, kila wakati wafika kumjaribu!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Wewe waja kumchunguza kila asubuhi, kila wakati wafika kumjaribu!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Wewe waja kumchunguza kila asubuhi, kila wakati wafika kumjaribu!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 kwamba unamwangalia kila asubuhi na kumjaribu kila wakati?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 kwamba unamwangalia kila asubuhi na kumjaribu kila wakati?

Tazama sura Nakili




Yobu 7:18
14 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa baada ya mambo hayo Mungu alimjaribu Abrahamu, akamwambia, Ee Abrahamu! Naye akasema, Mimi hapa.


Nawe, je! Wafumbua macho yako kumwangalia mtu kama yeye, Na kunitia katika hukumu pamoja nawe?


Lakini yeye aijua njia niendeayo; Akisha kunijaribu, nitatoka kama dhahabu.


Maana mchana kutwa nimepigwa, Na kuadhibiwa kila asubuhi.


Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, BWANA, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,


Basi sasa uende ukawaongoze watu hawa mpaka mahali pale ambapo nimekwambia habari zake; tazama, malaika wangu atakutangulia; pamoja na hayo siku nitakayowajia nitawapatiliza kwa ajili ya dhambi yao.


Wao wamekufa, hawataishi; wamekwisha kufariki, hawatafufuka; kwa sababu hiyo umewajia, na kuwaangamiza, na kuupoteza ukumbusho wao.


Basi, kwa hiyo BWANA wa majeshi asema hivi, Tazama, nitawayeyusha na kuwajaribu; maana nisipotenda hivi, nitende nini kwa ajili ya binti ya watu wangu?


Wengi watajitakasa, na kujifanya weupe, na kusafika; bali wabaya watatenda mabaya; wala hataelewa mtu mbaya awaye yote; bali wao walio na hekima ndio watakaoelewa.


BWANA kati yake ni mwenye haki; hatatenda uovu; kila asubuhi hudhihirisha hukumu yake, wala hakomi; bali mtu asiye haki hajui kuona haya.


Nami nitalileta fungu lile la tatu na kulipitisha kati ya moto, nami nitawasafisha kama fedha isafishwavyo, nami nitawajaribu kama dhahabu ijaribiwavyo; wataliitia jina langu, nami nitawasikia; mimi nitasema, Watu hawa ndio wangu; nao watasema, BWANA ndiye Mungu wangu.


aliyekulisha jangwani kwa mana, wasiyoijua baba zako; apate kukutweza, apate kukujaribu, ili kukutendea mema mwisho wako.


ili kwamba kujaribiwa kwa imani yenu, ambayo ina thamani kuu kuliko dhahabu ipoteayo, ijapokuwa hiyo hujaribiwa kwa moto, kuonekane kuwa kwenye sifa na utukufu na heshima, katika kufunuliwa kwake Yesu Kristo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo