Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 7:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

15 Hata nafsi yangu huchagua kunyongwa, Na kuchagua kifo kuliko maumivu yangu haya.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 hata naona afadhali kujinyonga, naona heri kufa kuliko kupata mateso haya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 hata naona afadhali kujinyonga, naona heri kufa kuliko kupata mateso haya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 hata naona afadhali kujinyonga, naona heri kufa kuliko kupata mateso haya.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 hivyo ninachagua kujinyonga na kufa, kuliko huu mwili wangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 hivyo ninachagua kujinyonga na kufa, kuliko huu mwili wangu.

Tazama sura Nakili




Yobu 7:15
12 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Ahithofeli alipoona ya kuwa ushauri wake haukufuatwa, akatandika punda wake, akaondoka, akaenda nyumbani kwake, mjini mwake, akaitengeneza nyumba yake, akajinyonga; akafa, akazikwa kaburini mwa babaye.


Ambao wangojea mauti, lakini hawayapati; Na kuyachimbulia kuliko watafutavyo hazina iliyostirika;


Ambao wafurahi mno, Na kushangilia watakapoliona kaburi?


Ndipo unitishapo kwa ndoto, Na kunitia hofu kwa maono;


Ninadhoofika; sitaishi sikuzote; Usinisumbue, kwani siku zangu ni uvuvio.


Mimi ni mkamilifu; siangalii nafsi yangu; Naudharau uhai wangu.


Basi, nikauchukia uhai; kwa sababu kazi inayotendeka chini ya jua ilikuwa mbaya kwangu; yaani, mambo yote ni ubatili na kufukuza upepo.


Na kufa kutachaguliwa kuliko kuishi na mabaki wote waliosalia katika jamaa hii mbovu, waliosalia kila mahali nilikowafukuza, asema BWANA wa majeshi.


Basi, sasa, Ee BWANA, nakuomba, uniondolee uhai wangu; maana ni afadhali nife mimi kuliko kuishi.


Basi ikawa, jua lilipopanda juu, Mungu akatayarisha upepo wa mashariki, wenye joto jingi; jua likampiga Yona kichwani, hata akazimia, naye akajitakia kufa, akasema, Ni afadhali nife mimi kuliko kuishi.


Akavitupa vile vipande vya fedha katika hekalu, akaondoka; akaenda, akajinyonga.


Na siku zile wanadamu watatafuta mauti, wala hawataiona kamwe. Nao watatamani kufa, nayo mauti itawakimbia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo