Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 7:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

14 Ndipo unitishapo kwa ndoto, Na kunitia hofu kwa maono;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 wewe waja kunitia hofu kwa ndoto, wanitisha kwa kuniletea maono;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 wewe waja kunitia hofu kwa ndoto, wanitisha kwa kuniletea maono;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 wewe waja kunitia hofu kwa ndoto, wanitisha kwa kuniletea maono;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 ndipo wanitisha kwa ndoto na kunitia hofu kwa maono,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 ndipo wanitisha kwa ndoto na kunitia hofu kwa maono,

Tazama sura Nakili




Yobu 7:14
10 Marejeleo ya Msalaba  

Hata asubuhi roho yake ikafadhaika; akapeleka watu kuwaita waganga wote wa Misri, na watu wote wenye hekima walioko. Farao akawahadithia ndoto yake, wala hakuna aliyeweza kumfasiria Farao mambo hayo.


Mimi sioni raha, wala situlii, wala kupumzika; Lakini taabu huja.


Hapo nisemapo, kitanda changu kitanituliza moyo, Malazi yangu yatanipunguzia kuugua kwangu;


Hata nafsi yangu huchagua kunyongwa, Na kuchagua kifo kuliko maumivu yangu haya.


Hapo nilalapo chini, nasema, Nitaondoka lini? Lakini usiku huwa mrefu; Nami nimejawa na kujitupa huku na huku hata kupambazuke.


Hata katika mwaka wa pili wa kumiliki kwake Nebukadneza, Nebukadneza aliota ndoto; na roho yake ikafadhaika, akatokwa na usingizi.


Mimi nimeona vema kutangaza habari za ishara na maajabu, aliyonitendea Mungu aliye juu.


Na alipokuwa ameketi juu ya kiti cha hukumu, mkewe alimpelekea mjumbe, kumwambia, Usiwe na neno na yule mwenye haki; kwa sababu nimeteswa mengi leo katika ndoto kwa ajili yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo