Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 6:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

7 Roho yangu inakataa hata kuvigusa; Kwangu mimi ni kama chakula kichukizacho.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Sina hamu ya kuvigusa vyakula hivyo, hivyo ni vyakula vyangu vichukizavyo.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Sina hamu ya kuvigusa vyakula hivyo, hivyo ni vyakula vyangu vichukizavyo.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Sina hamu ya kuvigusa vyakula hivyo, hivyo ni vyakula vyangu vichukizavyo.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Ninakataa kuvigusa; vyakula vya aina hii hunichukiza.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Ninakataa kuvigusa; vyakula vya aina hii hunichukiza.

Tazama sura Nakili




Yobu 6:7
11 Marejeleo ya Msalaba  

Naye akasema, Kama BWANA, Mungu wako, aishivyo, sina mkate, ila konzi ya unga katika pipa, na mafuta kidogo katika chupa; nami ninaokota kuni mbili ili niingie nijipikie mwenyewe na mwanangu, tule kisha tufe.


mkaseme, Mfalme asema hivi, Mtieni mtu huyu gerezani, mkamlishe kwa chakula cha shida, na maji ya shida, hata nitakaporudi kwa amani.


Kwani kuugua kwangu kwaja kana kwamba ni chakula, Na kunguruma kwangu kumemiminika kama maji.


Hata roho yake huchukia chakula, Na nafsi yake huchukia nyama nzuri.


Je! Kitu kisicho na ladha chaweza kulika bila chumvi? Au je, uto wa yai una tamu iwayo yote?


Laiti ningepewa haja yangu, Naye Mungu angenipa neno hilo ninalolitamani sana!


Maana ninakula majivu kama chakula, Na kukichanganya kinywaji changu na machozi.


Ndipo nikasema, Ee Bwana MUNGU, tazama, roho yangu haikutiwa unajisi; maana tangu ujana wangu hata sasa sijala nyamafu, wala iliyoraruliwa na wanyama; wala nyama ichukizayo haikuingia kinywani mwangu.


Tena akaniambia, Mwanadamu, tazama, nitalivunja tegemeo la chakula katika Yerusalemu; nao watakula mkate kwa kuupima, na kwa kuutunza sana; nao watakunywa maji kwa kuyapima, na kwa hofu;


Sikula chakula kitamu, wala nyama wala divai haikuingia kinywani mwangu, wala sikujipaka mafuta kabisa, hata majuma matatu kamili yalipotimia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo