Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 6:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

29 Rudini, nawasihi, lisiwe neno la udhalimu; Naam, rudini tena, neno langu ni la haki.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 Acheni tafadhali, kusiwe na uovu; acheni sasa, kwani mimi ni mnyofu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 Acheni tafadhali, kusiwe na uovu; acheni sasa, kwani mimi ni mnyofu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 Acheni tafadhali, kusiwe na uovu; acheni sasa, kwani mimi ni mnyofu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 Tulizeni hasira, msiwe wadhalimu; angalieni tena, kwa maana nimehatarisha uadilifu wangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 Tulizeni hasira, msiwe wadhalimu; angalieni tena, kwa maana nimehatarisha uadilifu wangu.

Tazama sura Nakili




Yobu 6:29
11 Marejeleo ya Msalaba  

Mimi nikiwa mwovu, ole wangu! Nami nikiwa mwenye haki, walakini sitainua kichwa changu; Maana nimejaa aibu Nikiyaangalia mateso yangu.


Mimi ni mtu wa kuchekwa na jirani yake, Ni mtu niliyemwita Mungu, naye akanijibu; Huyo mwenye haki, aliye mtimilifu, amekuwa ni kicheko.


Angalieni sasa, nimekwisha kulitengeneza neno langu, Najua ya kuwa mimi ni mwenye haki.


Lakini rudini; ninyi nyote, njoni sasa; Wala sitampata mtu mwenye hekima kati yenu.


Jueni basi kuwa Mungu amenipotosha, Na kunizingira kwa wavu wake.


Lakini yeye aijua njia niendeayo; Akisha kunijaribu, nitatoka kama dhahabu.


Kwani Ayubu amesema, Mimi ni mwenye haki, Naye Mungu ameniondolea haki yangu;


Ndipo Ayubu akamjibu BWANA, na kusema.


Kwa sababu hiyo najichukia nafsi yangu, na kutubu Katika mavumbi na majivu.


Ndipo mtakaporudi, nanyi mtapambanua kati ya wenye haki na waovu, kati ya yeye amtumikiaye Mungu na yeye asiyemtumikia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo