Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 6:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

23 Au, Niokoeni na mkono wa adui? Au, Nikomboeni na mikono ya hao waoneao?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Au mniokoe makuchani mwa adui? Au mnikomboe mkononi mwa wadhalimu?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Au mniokoe makuchani mwa adui? Au mnikomboe mkononi mwa wadhalimu?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Au mniokoe makuchani mwa adui? Au mnikomboe mkononi mwa wadhalimu?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 au niokoeni mikononi mwa adui, au nikomboeni kutoka makucha ya wasio na huruma’?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 au niokoeni mikononi mwa adui, au nikomboeni kutoka makucha ya wasio na huruma’?

Tazama sura Nakili




Yobu 6:23
9 Marejeleo ya Msalaba  

Nikawaambia, Sisi kwa kadiri ya uwezo wetu tumewakomboa ndugu zetu Wayahudi, waliouzwa kwa makafiri; na ninyi mnataka kuwauza ndugu zenu, tena kuwauza ili sisi tuwanunue? Wakanyamaza kimya, wasiweze kusema neno lolote.


Wakati wa njaa atakukomboa na mauti; Na vitani atakukomboa na nguvu za upanga.


Je! Nilisema, Nipeni? Au, Nitoleeni toleo katika mali yenu?


Nifunzeni, nami nitanyamaa kimya; Mkanijulishe ni jambo gani nililokosa.


Na waseme hivi waliokombolewa na BWANA, Wale aliowakomboa na mkono wa mtesi.


Bali Mungu atanikomboa nafsi yangu, Atanitoa mkononi mwa kuzimu, maana atanipokea.


Nami nitakuokoa kutoka kwa mkono wa watu wabaya, nami nitakukomboa kutoka kwa mkono wao wenye kutisha.


baada ya kuuzwa aweza kukombolewa; mtu mmoja miongoni mwa ndugu zake ana ruhusa kumkomboa;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo