Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 6:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

21 Kwani sasa ninyi mmekuwa hivyo; Mnaona maafa yangu, na kuogopa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Nyinyi mmekuwa kama vijito hivyo, mwaona balaa yangu na kuogopa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Nyinyi mmekuwa kama vijito hivyo, mwaona balaa yangu na kuogopa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Nyinyi mmekuwa kama vijito hivyo, mwaona balaa yangu na kuogopa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Sasa nanyi mmethibitika kwamba hamna msaada wowote; mnaona jambo la kutisha, nanyi mnaogopa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Sasa nanyi mmethibitika kwamba hamna msaada wowote; mnaona jambo la kutisha, nanyi mnaogopa.

Tazama sura Nakili




Yobu 6:21
16 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini ninyi hubuni maneno ya uongo, Ninyi nyote ni matabibu wasiofaa.


Marafiki zangu wote wa dhati wanichukia; Na hao niliowapenda wamenigeukia.


Ndugu zangu wametenda udanganyifu kama kijito cha maji. Mfano wa fumbi la vijito vipitavyo.


Je! Nilisema, Nipeni? Au, Nitoleeni toleo katika mali yenu?


Wanipendao na rafiki zangu wanasimama mbali na pigo langu; Na jamaa zangu wanasimama mbali.


Hakika binadamu ni ubatili, Na wenye cheo ni uongo, Katika mizani huinuka; Wote pamoja ni hafifu kuliko ubatili.


Ndugu zote wa maskini humchukia; Jinsi gani rafiki zake huzidi kujitenga naye! Huwafuata kwa maneno, lakini wametoweka.


Mwacheni mwanadamu ambaye pumzi yake iko katika mianzi ya pua yake; kwa maana wanafaa kitu gani?


Tungependa kuuponya Babeli, Lakini haukuponyeka; Mwacheni, nasi twendeni zetu, Kila mtu hata nchi yake mwenyewe; Maana hukumu yake inafika hata mbinguni, Nayo imeinuliwa kufikia mawinguni.


Ndipo Yesu akawaambia, Ninyi nyote mtachukizwa kwa ajili yangu usiku huu kwa kuwa imeandikwa, Nitampiga mchungaji, na kondoo wa kundi watatawanyika.


Lakini haya yote yamekuwa, ili maandiko ya manabii yatimizwe. Ndipo wanafunzi wote wakamwacha, wakakimbia.


Katika utetezi wangu wa kwanza hakuna mtu aliyesimama upande wangu, bali wote waliniacha; naomba wasihesabiwe hatia kwa jambo hilo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo