Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 6:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

16 Vilivyokuwa vyeusi kwa sababu ya barafu, Ambamo theluji hujificha.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Ambayo imejaa barafu, na theluji imejificha ndani yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Ambayo imejaa barafu, na theluji imejificha ndani yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Ambayo imejaa barafu, na theluji imejificha ndani yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 wakati vimefunikwa barafu iyeyukayo, ambavyo hujazwa na theluji inayoyeyuka,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 wakati vimefunikwa barafu iyeyukayo, ambavyo hujazwa na theluji inayoyeyuka,

Tazama sura Nakili




Yobu 6:16
6 Marejeleo ya Msalaba  

Ukame na joto hukausha maji ya theluji; Kama kuzimu kuwafanyavyo watenda dhambi.


Je! Umeziingia ghala za theluji, Au umeziona ghala za mvua ya mawe,


Barafu ilitoka katika tumbo la nani? Na sakitu ya mbinguni ni nani aliyeizaa?


Ndugu zangu wametenda udanganyifu kama kijito cha maji. Mfano wa fumbi la vijito vipitavyo.


Wakati vipatapo moto hutoweka; Kukiwako joto, hukoma mahali pao.


Hulituma neno lake na kuviyeyusha, Huuvumisha upepo wake, maji yakatiririka.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo