Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 5:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

4 Watoto wake wako mbali na wokovu, Nao wamesongwa langoni, Wala hapana atakayewaponya.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Watoto wake hawana usalama; hudhulumiwa mahakamani, na hakuna mtu wa kuwatetea.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Watoto wake hawana usalama; hudhulumiwa mahakamani, na hakuna mtu wa kuwatetea.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Watoto wake hawana usalama; hudhulumiwa mahakamani, na hakuna mtu wa kuwatetea.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Watoto wake wako mbali na usalama, hushindwa mahakamani bila mtetezi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Watoto wake wako mbali na usalama, hushindwa mahakamani bila mtetezi.

Tazama sura Nakili




Yobu 5:4
16 Marejeleo ya Msalaba  

mara, tazama, upepo wenye nguvu ukatoka pande za jangwani, ukaipiga hiyo nyumba pembe zake nne, nayo ikawaangukia hao vijana, nao wamekufa; na mimi peke yangu nimepona, mimi tu, kukuletea habari.


Ujapojua ya kuwa mimi si mwovu; Wala hapana awezaye kuokoa kutoka kwa mkono wako?


Watoto wake watataka fadhili kwa maskini, Na mikono yake itarudisha mali yake.


Watoto wake wakiongezeka ni kwa upanga; Na wazao wake hawatashiba chakula.


Kwamba watoto wako wamemfanyia dhambi, Naye amewatia mkononi mwa kosa lao;


Wokovu u mbali na wasio haki, Kwa maana hawajifunzi amri zako.


Heri mtu yule Aliyelijaza podo lake hivyo. Naam, hawataona aibu Wanaposema na adui langoni.


Asije akaipapura nafsi yangu kama simba, Akaniburura hadi pasipokuwa na wa kuniponya.


Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, BWANA, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,


Kwa mpumbavu hekima haipatikani; Hafumbui kinywa chake langoni.


Maana mimi najua jinsi maasi yenu yalivyo mengi, na jinsi dhambi zenu zilivyo kubwa; ninyi mnaowaonea wenye haki, mnaopokea rushwa, na kuwageuza wahitaji langoni wasipate haki yao.


Naye ataikimbilia miji hiyo mmojawapo, naye atasimama hapo penye maingilio ya lango la huo mji, kisha atanena neno lake masikioni mwa wazee wa mji; nao watamtia kwao ndani ya mji, na kumpa mahali, ili apate kukaa kati yao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo