Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 5:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

21 Utafichwa na mapigo ya ulimi; Wala usiogope maangamizo yatakapokuja.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Utakingwa salama na mashambulio ya ulimi, wala hutaogopa maangamizi yajapo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Utakingwa salama na mashambulio ya ulimi, wala hutaogopa maangamizi yajapo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Utakingwa salama na mashambulio ya ulimi, wala hutaogopa maangamizi yajapo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Utalindwa kutokana na kichapo cha ulimi, wala hutakuwa na sababu ya kuogopa maangamizi yatakapokujia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Utalindwa kutokana na kichapo cha ulimi, wala hutakuwa na sababu ya kuogopa maangamizi yatakapokujia.

Tazama sura Nakili




Yobu 5:21
11 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini yeye huokoa na upanga wa kinywa chao, Hata kumwokoa mhitaji na mkono wake aliye hodari.


Utawasitiri kutoka kwa fitina za watu Katika maficho ya kuwapo kwako; Utawaficha katika hema Na ushindani wa ndimi.


BWANA ahimidiwe; kwa maana amenitendea Fadhili za ajabu nilipozongwa kama mji wenye boma.


Kinywa chake ni laini kuliko siagi, Bali moyo wake ni vita. Maneno yake ni mororo kuliko mafuta, Lakini yanakata kama upanga mkali.


Nafsi yangu i kati ya simba, Nitastarehe kati yao waliowaka moto. Wanadamu meno yao ni mikuki na mishale, Na ndimi zao ni upanga mkali.


Kuna anenaye bila kufikiri, kama kuchoma kwa upanga; Bali ulimi wa mwenye haki ni afya.


Usiogope hofu ya ghafla, Wala uharibifu wa waovu utakapofika.


Kila silaha itengenezwayo juu yako haitafanikiwa, na kila ulimi utakaoinuka juu yako katika hukumu utauhukumu kuwa mkosa. Huu ndio urithi wa watumishi wa BWANA, na haki yao inayotoka kwangu mimi, asema BWANA.


Hapo ndipo waliposema, Njooni na tufanye mashauri juu ya Yeremia; maana sheria haitampotea kuhani, wala shauri halitampotea mwenye hekima, wala neno halitampotea nabii. Njooni, na tumpige kwa ndimi zetu, wala tusiyaangalie maneno yake yoyote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo