Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 5:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 Kwani hasira humwua mtu mpumbavu, Nao wivu humwua mjinga.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Ama kweli hangaiko humuua mpumbavu, na wivu humwangamiza mjinga.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Ama kweli hangaiko humuua mpumbavu, na wivu humwangamiza mjinga.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Ama kweli hangaiko humuua mpumbavu, na wivu humwangamiza mjinga.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Kuweka uchungu moyoni humuua mpumbavu, nao wivu humchinja mjinga.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Kuweka uchungu moyoni humuua mpumbavu, nao wivu humchinja mjinga.

Tazama sura Nakili




Yobu 5:2
19 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Raheli alipoona ya kuwa hamzalii Yakobo mwana, Raheli alimwonea dada yake wivu. Akamwambia Yakobo, Nipe wana; kama sivyo, nitakufa mimi.


Onani alijua ya kwamba huo uzao hautakuwa wake, ikawa, alipoingia kwa mke wa nduguye, alimwaga mbegu chini asimpe nduguye uzao.


Wewe ujiraruaye mwenyewe katika hasira yako, Je! Dunia itaachwa kwa ajili yako wewe? Au jabali litaondolewa mahali pake?


Wapumbavu, kwa sababu ya ukosaji wao, Na kwa sababu ya maovu yao, hujitesa.


Mpumbavu husema moyoni, Hakuna Mungu; Wameharibu matendo yao na kuyafanya chukizo, Hakuna atendaye mema.


Niliwaambia waliojivuna, Msijivune; Na wasio haki, Msiiinue pembe.


Mtu mjinga hayatambui hayo, Wala mpumbavu hayafahamu.


Ghadhabu ya mpumbavu hujulikana mara; Bali mtu mwerevu husitiri aibu.


Yeye aihifadhiye amri huihifadhi nafsi yake; Bali yeye asiyeziangalia njia zake atakufa.


Mtu wa hasira nyingi atachukua adhabu yake, Maana ujapomwokoa huna budi kufanya tena.


Jiwe ni zito, na mchanga hulemea; Lakini ghadhabu ya mpumbavu ni nzito kuliko hivi vyote viwili.


Enyi wajinga, fahamuni werevu, Nanyi wapumbavu, mpate moyo wa kufahamu.


Usifanye haraka kukasirika rohoni mwako, Maana hasira hukaa kifuani mwa wapumbavu.


Naye Efraimu amekuwa kama njiwa mpumbavu, asiye na fahamu; humwita Misri, huenda Ashuru.


Mungu akamwambia Yona, Je! Unatenda vema kukasirika kwa ajili ya mtango? Naye akasema, Ndiyo, natenda vema kukasirika hata kufa.


na wale wenye fitina, wasioitii kweli, bali wakubalio dhuluma, watapata hasira na ghadhabu;


Kwa maana katika hao wamo wale wajiingizao katika nyumba za watu, na kuchukua mateka wanawake wajinga wenye mizigo ya dhambi, waliochukuliwa na tamaa za kila namna;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo