Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 5:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

19 Yeye atakuokoa na mateso sita; Naam, hata katika saba hapana uovu utakaokugusa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Atakuokoa katika maafa zaidi ya mara moja; katika balaa la mwisho, uovu hautakugusa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Atakuokoa katika maafa zaidi ya mara moja; katika balaa la mwisho, uovu hautakugusa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Atakuokoa katika maafa zaidi ya mara moja; katika balaa la mwisho, uovu hautakugusa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Kutoka majanga sita atakuokoa; naam, hata katika saba hakuna dhara litakalokupata wewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Kutoka majanga sita atakuokoa; naam, hata katika saba hakuna dhara litakalokupata wewe.

Tazama sura Nakili




Yobu 5:19
16 Marejeleo ya Msalaba  

Mateso ya mwenye haki ni mengi, Lakini BWANA kutoka kwayo yote.


Huihifadhi mifupa yake yote, Usivunjike hata mmoja.


Uliwapandisha watu Juu ya vichwa vyetu. Tulipitia motoni na majini; Ukatutoa na kutuleta kwenye ufanisi.


Ataniita nami nitamwitikia; Nitakuwa pamoja naye taabuni, Nitamwokoa na kumtukuza;


Kwa maana mwenye haki huanguka mara saba akaondoka tena; Bali wasio haki hukwazwa na mabaya.


Kuna vitu sita anavyovichukia BWANA; Naam, viko saba vilivyo chukizo kwake.


Upitapo katika maji mengi nitakuwa pamoja nawe; na katika mito, haitakugharikisha; uendapo katika moto, hutateketea; wala mwali wa moto hautakuunguza.


Lakini nitakuokoa wewe katika siku hiyo, asema BWANA; wala hutatiwa katika mikono ya watu wale unaowaogopa.


Kama ni hivyo, Mungu wetu tunayemtumikia aweza kutuokoa na tanuri liwakalo moto; naye atatuokoa mkononi mwako, Ee mfalme.


Akajibu, akasema, Tazama, mimi naona watu wanne, nao wamefunguliwa, wanatembea katikati ya moto hali hawana dhara; na sura yake yule wa nne ni mfano wa mwana wa miungu.


Basi mfalme akatoa amri, nao wakamleta Danieli, wakamtupa katika tundu la simba. Mfalme akanena, akamwambia Danieli, Mungu wako unayemtumikia daima, yeye atakuponya.


Likaletwa jiwe, likawekwa mdomoni mwa lile tundu; naye mfalme akalitia mhuri kwa mhuri wake mwenyewe, na kwa mhuri wa wakuu wake, lisibadilike neno lolote katika habari za Danieli.


Jaribu halikuwapata ninyi, isipokuwa lililo kawaida ya wanadamu; ila Mungu ni mwaminifu; ambaye hatawaacha mjaribiwe kupita muwezavyo; lakini pamoja na lile jaribu atafanya na mlango wa kutokea, ili muweze kustahimili.


Maana ndugu, hatupendi, msijue habari ya dhiki ile iliyotupata katika Asia, ya kwamba tulilemewa mno kuliko nguvu zetu, hata tukakata tamaa ya kuishi.


basi, Bwana ajua kuwaokoa watauwa na majaribu, na kuwaweka wasio haki katika hali ya adhabu hata siku ya hukumu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo