Yobu 5:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC18 Kwani yeye huumiza, lakini tena huuguza; Yeye hutia jeraha, na mikono yake huponya. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Kwani yeye huumiza na pia huuguza; hujeruhi, na kwa mkono wake huponya. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Kwani yeye huumiza na pia huuguza; hujeruhi, na kwa mkono wake huponya. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Kwani yeye huumiza na pia huuguza; hujeruhi, na kwa mkono wake huponya. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Kwa kuwa hutia jeraha, lakini pia huyafunga; huumiza, lakini mikono yake pia huponya. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Kwa kuwa hutia jeraha, lakini pia huyafunga; huumiza, lakini mikono yake pia huponya. Tazama sura |