Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 5:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

16 Basi hivi huyo maskini ana matumaini, Na uovu hufumba kinywa chake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Hivyo maskini wanalo tumaini, nao udhalimu hukomeshwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Hivyo maskini wanalo tumaini, nao udhalimu hukomeshwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Hivyo maskini wanalo tumaini, nao udhalimu hukomeshwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Kwa hiyo maskini analo tarajio, nao udhalimu hufumba kinywa chake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Kwa hiyo maskini analo tarajio, nao udhalimu hufumba kinywa chake.

Tazama sura Nakili




Yobu 5:16
11 Marejeleo ya Msalaba  

Ikiwa nimewanyima maskini haja zao, Au kama nimeyatia kiwi macho ya mwanamke mjane;


Wanyofu wa moyo wanaona na kufurahi, Na waovu wote wananyamazishwa.


Bali mfalme atamfurahia Mungu, Kila aapaye kwa Yeye atashangilia, Kwa maana vinywa vya waongo vitafumbwa.


Kwa maana mhitaji hatasahauliwa daima; Matumaini ya wanyonge hayatapotea milele.


Lakini katika wana wa Israeli hapana hata mbwa atakayetoa ulimi juu yao, juu ya mtu wala juu ya mnyama; ili kwamba mpate kujua jinsi BWANA anavyowatenga Wamisri na Waisraeli.


Wajumbe wa taifa hilo waletewe jibu gani? Ya kuwa BWANA ameiweka misingi ya Sayuni, na ndani yake wale walioonewa katika watu wake watapata kimbilio kwake.


Basi Nebukadneza, mfalme wa Babeli, akamwagiza Nebuzaradani, mkuu wa askari walinzi, katika habari za Yeremia, akisema,


Basi Mungu alimjalia Danieli kupata kibali na huruma machoni pa huyo mkuu wa matowashi.


Rudini katika ngome yenu, enyi wafungwa wa tumaini; hata hivi leo nasema ya kwamba nitakurudishia maradufu.


Basi twajua ya kuwa mambo yote inenayo torati huyanena kwa hao walio chini ya torati, ili kila kinywa kifumbwe, na ulimwengu wote uwe chini ya hukumu ya Mungu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo