Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 5:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

15 Lakini yeye huokoa na upanga wa kinywa chao, Hata kumwokoa mhitaji na mkono wake aliye hodari.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Lakini Mungu huwaokoa yatima wasiuawe, huwanyakua fukara mikononi mwa wenye nguvu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Lakini Mungu huwaokoa yatima wasiuawe, huwanyakua fukara mikononi mwa wenye nguvu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Lakini Mungu huwaokoa yatima wasiuawe, huwanyakua fukara mikononi mwa wenye nguvu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Humwokoa mhitaji kutokana na upanga ulioko kinywani mwao; huwaokoa kutokana na makucha ya wenye nguvu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Humwokoa mhitaji kutokana na upanga ulioko kinywani mwao; huwaokoa kutokana na makucha ya wenye nguvu.

Tazama sura Nakili




Yobu 5:15
19 Marejeleo ya Msalaba  

Nami nilizivunja taya za wasio haki, Na kumpokonya mawindo katika meno yake.


Hata wakafanya kilio cha maskini kumfikia, Naye akasikia kilio cha hao wateswao.


Ili huyo mpotovu asitawale, Wala pasiwe na wa kuwatega watu.


Yeye humponya aliyetaabika kwa njia ya taabu yake, Na kuyafunua masikio yao kwa maonevu.


Hauhifadhi uhai wa waovu; Lakini huwapa wateswao haki yao.


Na waovu nuru yao huzuiliwa isiwafikie, Na mkono ulioinuka huvunjika.


Kunguruma kwake simba, na sauti ya simba mkali, Na meno ya simba wachanga, yamevunjika.


Simba mzee huangamia kwa kukosa mawindo, Nao watoto wa simba jike wametawanyika mbalimbali.


Utafichwa na mapigo ya ulimi; Wala usiogope maangamizo yatakapokuja.


Umeona, maana unaangalia matatizo na dhiki, Uyatwae mkononi mwako. Mtu duni hukuachia nafsi yake, Maana umekuwa msaidizi wa yatima.


BWANA, utayasikia matakwa ya wanyonge, Uutaidhibiti mioyo yao, utalitega sikio lako.


Lakini alimwinua mhitaji juu mbali na mateso, Na kuwaongeza jamaa zao kama kundi la kondoo.


Maana atasimama mkono wa kulia wa mhitaji Amwokoe kutoka kwa wanaoihukumu nafsi yake.


Najua ya kuwa BWANA atamfanyia mnyonge hukumu, Na wahitaji haki yao.


Mifupa yangu yote itasema, BWANA, ni nani aliye kama Wewe? Umponyaye maskini kutoka kwa mtu aliye hodari kumshinda yeye, Naam, maskini na mhitaji na mtu amtekaye.


Na atawatetea watu walioonewa, Awaokoe wahitaji, na kumwaangamiza mdhalimu.


Basi Nebukadneza, mfalme wa Babeli, akamwagiza Nebuzaradani, mkuu wa askari walinzi, katika habari za Yeremia, akisema,


Basi Mungu alimjalia Danieli kupata kibali na huruma machoni pa huyo mkuu wa matowashi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo