Yobu 5:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC15 Lakini yeye huokoa na upanga wa kinywa chao, Hata kumwokoa mhitaji na mkono wake aliye hodari. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Lakini Mungu huwaokoa yatima wasiuawe, huwanyakua fukara mikononi mwa wenye nguvu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Lakini Mungu huwaokoa yatima wasiuawe, huwanyakua fukara mikononi mwa wenye nguvu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Lakini Mungu huwaokoa yatima wasiuawe, huwanyakua fukara mikononi mwa wenye nguvu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Humwokoa mhitaji kutokana na upanga ulioko kinywani mwao; huwaokoa kutokana na makucha ya wenye nguvu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Humwokoa mhitaji kutokana na upanga ulioko kinywani mwao; huwaokoa kutokana na makucha ya wenye nguvu. Tazama sura |