Yobu 42:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC6 Kwa sababu hiyo najichukia nafsi yangu, na kutubu Katika mavumbi na majivu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Kwa hiyo natubu pamoja na kujipaka mavumbi na majivu, najiona mimi mwenyewe kuwa si kitu kabisa.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Kwa hiyo natubu pamoja na kujipaka mavumbi na majivu, najiona mimi mwenyewe kuwa si kitu kabisa.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Kwa hiyo natubu pamoja na kujipaka mavumbi na majivu, najiona mimi mwenyewe kuwa si kitu kabisa.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Kwa hiyo najidharau mwenyewe, na kutubu katika mavumbi na majivu.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Kwa hiyo najidharau mwenyewe, na kutubu katika mavumbi na majivu.” Tazama sura |
Na hao wa kwenu watakaookoka watanikumbuka kati ya mataifa, watakakochukuliwa mateka, jinsi nilivyoiponda mioyo yao ya kikahaba, iliyoniacha, na macho yao, yaendayo kufanya uasherati na vinyago vyao; nao watajichukia nafsi zao machoni pao wenyewe, kwa sababu ya mabaya yao yote, waliyoyatenda kwa machukizo yao yote.