Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 42:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

16 Kisha baada ya mambo hayo Ayubu akaishi miaka mia moja na arubaini, naye akawaona wanawe, na wana wa wanawe, hadi kizazi cha nne.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Baada ya hapo, Yobu aliishi miaka 140, akawaona wajukuu na vitukuu vyake vyote hadi kizazi cha nne.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Baada ya hapo, Yobu aliishi miaka 140, akawaona wajukuu na vitukuu vyake vyote hadi kizazi cha nne.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Baada ya hapo, Yobu aliishi miaka 140, akawaona wajukuu na vitukuu vyake vyote hadi kizazi cha nne.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Baada ya hili Ayubu akaishi miaka mia moja na arobaini; akawaona wanawe, na wana wa wanawe hata kizazi cha nne.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Baada ya hili Ayubu akaishi miaka 140; akawaona wanawe na wana wa wanawe hata kizazi cha nne.

Tazama sura Nakili




Yobu 42:16
13 Marejeleo ya Msalaba  

Siku za Tera zilikuwa miaka mia mbili na mitano; Tera akafa katika Harani.


Abrahamu aliishi miaka mia moja na sabini na mitano.


Siku za Isaka zilikuwa miaka mia moja na themanini.


Yakobo akaishi katika nchi ya Misri miaka kumi na saba, basi umri wake Yakobo ulikuwa miaka mia moja na arubaini na saba.


Yusufu akaona wana wa Efraimu hata kizazi cha tatu; na wana wa Makiri, mwana wa Manase, walizaliwa magotini mwa Yusufu.


Basi Yusufu akafa, mwenye miaka mia moja na kumi; wakampaka dawa, wakamtia katika sanduku, huko Misri.


Katika nchi hiyo yote hawakuwapo wanawake waliokuwa wazuri kama hao wana wa Ayubu; na baba yao akawapa urithi pamoja na ndugu zao wa kiume.


Basi Ayubu akafa, akiwa mzee sana mwenye kujawa na siku.


Naam, ukawaone wana wa wanao. Amani ikae na Israeli.


Miaka ya maisha yetu ni sabini, Na ikiwa tuna nguvu miaka themanini; Tena kiburi chake ni taabu na ubatili, Maana wakati unapita upesi nasi kutokomea punde.


Wana wa wana ndio taji la wazee, Na utukufu wa watoto ni baba zao.


Musa alikuwa mtu wa miaka mia moja na ishirini alipokufa; jicho lake halikupofuka, wala nguvu za mwili wake hazikupunguka.


Ikawa, baada ya hayo, Yoshua, mwana wa Nuni, mtumishi wa BWANA, akafa, mwenye umri wa miaka mia moja na kumi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo