Yobu 42:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC16 Kisha baada ya mambo hayo Ayubu akaishi miaka mia moja na arubaini, naye akawaona wanawe, na wana wa wanawe, hadi kizazi cha nne. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Baada ya hapo, Yobu aliishi miaka 140, akawaona wajukuu na vitukuu vyake vyote hadi kizazi cha nne. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Baada ya hapo, Yobu aliishi miaka 140, akawaona wajukuu na vitukuu vyake vyote hadi kizazi cha nne. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Baada ya hapo, Yobu aliishi miaka 140, akawaona wajukuu na vitukuu vyake vyote hadi kizazi cha nne. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Baada ya hili Ayubu akaishi miaka mia moja na arobaini; akawaona wanawe, na wana wa wanawe hata kizazi cha nne. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Baada ya hili Ayubu akaishi miaka 140; akawaona wanawe na wana wa wanawe hata kizazi cha nne. Tazama sura |