Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 41:34 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

34 Yeye hutazama kila kitu kilicho juu; Ni mfalme juu ya wote wenye kiburi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Neno: Bibilia Takatifu

34 Yeye huwatazama chini wale wote wenye kujivuna; yeye ni mfalme juu ya wote wenye kiburi.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

34 Yeye huwatazama chini wale wote wenye kujivuna; yeye ni mfalme juu ya wote wenye kiburi.”

Tazama sura Nakili




Yobu 41:34
11 Marejeleo ya Msalaba  

Huichafua bahari kwa uwezo wake, Na kumtema Rahabu kwa akili zake.


Wanyama wakali wajivunao hawajaikanyaga, Wala simba mkali hajaipita.


Ndipo Ayubu akamjibu BWANA, na kusema.


Kwa hiyo watu wake hugeuka huko, Na maji yaliyojaa humezwa nao.


Hivyo kiburi kimekuwa mkufu shingoni mwao, Udhalimu huwavika kama nguo.


Farao akasema, BWANA ni nani, hata niisikilize sauti yake, na kuwapa Israeli ruhusa waende zao? Mimi simjui BWANA, wala sitawapa Israeli ruhusa waende zao.


Ole wa taji la kiburi la walevi wa Efraimu, na ua la uzuri wa fahari yake linalonyauka, lililo kichwani mwa bonde linalositawi, la hao walioshindwa na divai!


nena, useme, Bwana MUNGU asema hivi; Tazama, mimi ni juu yako, Ewe Farao, mfalme wa Misri, joka kubwa aoteaye kati ya mito yake, aliyesema, Mto wangu ni wangu mwenyewe, nami nimeufanya kwa ajili ya nafsi yangu.


Na yule mnyama niliyemwona alikuwa mfano wa chui, na miguu yake ilikuwa kama miguu ya dubu, na kinywa chake kama kinywa cha simba, lile joka likampa nguvu zake na kiti chake cha enzi na uwezo mwingi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo