Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 41:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

3 Je! Atakusihi sana? Au, atakuambia maneno ya upole?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Nani aliyenipa kitu, ili nitakiwe kumrudishia? Chochote kilicho chini ya mbingu ni changu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Nani aliyenipa kitu, ili nitakiwe kumrudishia? Chochote kilicho chini ya mbingu ni changu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Nani aliyenipa kitu, ili nitakiwe kumrudishia? Chochote kilicho chini ya mbingu ni changu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Je, ataendelea kukuomba umhurumie? Atasema nawe maneno ya upole?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Je, ataendelea kukuomba umhurumie? Atasema nawe maneno ya upole?

Tazama sura Nakili




Yobu 41:3
10 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Waweza kutia kamba puani mwake? Au kutoboa taya yake kwa kulabu?


Je! Atafanya agano pamoja nawe, Umtwae kuwa mtumishi wako milele?


Nchi na vyote vilivyomo ni mali ya BWANA, Dunia na wote wakaao ndani yake.


Kinywa chake ni laini kuliko siagi, Bali moyo wake ni vita. Maneno yake ni mororo kuliko mafuta, Lakini yanakata kama upanga mkali.


Sasa basi ikiwa mtaitii sauti yangu kweli kweli, na kulishika agano langu, hapo ndipo mtakapokuwa tunu kwangu kuliko makabila yote ya watu; maana dunia yote pia ni mali yangu,


Jawabu la upole hugeuza hasira; Bali neno liumizalo huchochea ghadhabu.


Maskini hutumia maombi; Bali tajiri hujibu kwa ukali.


Kwa uvumilivu mwingi mkuu husadikishwa; Na ulimi laini huvunja mfupa.


wawaambiao waonaji, Msione; na manabii, Msitoe unabii wa mambo ya haki, tuambieni maneno laini, hubirini maneno yadanganyayo;


Fedha ni mali yangu, na dhahabu ni mali yangu, asema BWANA wa majeshi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo