Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 41:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 Kwa kuchemua kwake mwanga humemetuka, Na macho yake yanafanana na koze za alfajiri.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Hakuna upanga uwezao kulijeruhi, wala mkuki, mshale au fumo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Hakuna upanga uwezao kulijeruhi, wala mkuki, mshale au fumo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Hakuna upanga uwezao kulijeruhi, wala mkuki, mshale au fumo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Akipiga chafya mwanga humetameta; macho yake ni kama miali ya mapambazuko.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Akipiga chafya mwanga humetameta; macho yake ni kama mionzi ya mapambazuko.

Tazama sura Nakili




Yobu 41:18
4 Marejeleo ya Msalaba  

Nyota za mapambazuko yake na ziwe giza; Na utafute mwanga lakini usiupate; Wala usiyaone mapambazuko;


Yamefungamana pamoja; Yameshikamana, hata hayawezi kutengwa.


Mienge iwakayo hutoka kinywani mwake, Na cheche za moto huruka nje.


Kichwa chake na nywele zake zilikuwa nyeupe kama sufu nyeupe, kama theluji; na macho yake kama muali wa moto;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo