Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 40:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

9 Au je! Wewe una mkono kama Mungu? Waweza kutoa ngurumo kwa sauti kama yeye?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Je, una nguvu kama mimi Mungu? Waweza kunguruma kwa sauti kama yangu?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Je, una nguvu kama mimi Mungu? Waweza kunguruma kwa sauti kama yangu?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Je, una nguvu kama mimi Mungu? Waweza kunguruma kwa sauti kama yangu?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Je, una mkono kama wa Mungu, nawe unaweza kutoa sauti ya ngurumo kama yake?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Je, una mkono kama wa Mungu, nawe waweza kutoa sauti ya ngurumo kama yake?

Tazama sura Nakili




Yobu 40:9
18 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Angeshindana nami kwa ukuu wa uwezo wake? La, lakini angenisikiliza.


Zisikizeni hizo kelele za sauti yake, Na uvumi utokao kinywani mwake.


Yeye ni mwenye hekima moyoni, na mwenye uwezo katika nguvu; Ni nani aliyejifanya kuwa mgumu juu yake, naye akafanikiwa?


Sauti ya BWANA inasikika juu ya maji; Mungu wa utukufu apiga radi; BWANA yu juu ya maji mengi.


Sauti ya BWANA ina nguvu; Sauti ya BWANA ina utukufu;


Ndiwe uliyemponda Rahabu akawa kama aliyeuawa, Kwa mkono hodari umewatawanya wakuchukiao.


Mkono wako ni mkono wenye uweza, Mkono wako una nguvu, Mkono wako wa kulia umetukuka.


Mwimbieni BWANA wimbo mpya, Kwa maana ametenda mambo ya ajabu. Mkono wa kulia, Na mkono wake mtakatifu umemtendea wokovu.


BWANA, mkono wako wa kulia umepata fahari ya uwezo, BWANA, mkono wako wa kulia wawasetaseta adui.


Ole wake ashindanaye na Muumba wake! Kigae kimoja katika vigae vya dunia! Je! Udongo umwambie yeye aufinyangaye; Unatengeneza nini? Au chombo ulichotengeneza hakina mikono?


BWANA ameweka wazi mkono wake mtakatifu Machoni pa mataifa yote; Na ncha zote za dunia Zitauona wokovu wa Mungu wetu.


Nimekutegea mtego, Ee Babeli, nawe ukanaswa, nawe ulikuwa huna habari; umeonekana, ukakamatwa, kwa sababu ulishindana na BWANA.


Na sauti ya mabawa ya makerubi ikasikiwa, hata katika ua wa nje, kama sauti ya Mungu Mwenyezi, asemapo.


Au twamtia Bwana wivu? Je! Tuna nguvu zaidi ya yeye?


watu wote wa duniani wapate kujua mkono wa BWANA, ya kuwa ni mkono wenye uweza, na ili nanyi mpate kumcha BWANA, Mungu wenu, milele.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo