Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 40:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

19 Yeye ni wa kwanza kwa hayo matendo makuu ya Mungu; Ni Muumba wake tu awezaye kumkabili kwa upanga wake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 “Hilo ni la kwanza la ajabu kati ya viumbe vyangu! Ni mimi Muumba wake niwezaye kulishinda.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 “Hilo ni la kwanza la ajabu kati ya viumbe vyangu! Ni mimi Muumba wake niwezaye kulishinda.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 “Hilo ni la kwanza la ajabu kati ya viumbe vyangu! Ni mimi Muumba wake niwezaye kulishinda.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Yeye ni wa kwanza miongoni mwa kazi za Mungu, lakini Muumba wake anaweza kumsogelea kwa upanga wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Yeye ni wa kwanza miongoni mwa kazi za Mungu, lakini Muumba wake anaweza kumsogelea kwa upanga wake.

Tazama sura Nakili




Yobu 40:19
7 Marejeleo ya Msalaba  

Hizo mbingu hupambwa kwa roho yake; Mkono wake umemchoma nyoka aendaye mbio.


Mwangalie huyo kiboko, niliyemwumba pamoja nawe; Yeye hula nyasi kama ng'ombe,


Mifupa yake ni kama mirija ya shaba; Mbavu zake ni kama vipande vya chuma.


Juu ya nchi hapana aliyefanana naye, kiumbe asiye na woga.


Ee BWANA, jinsi yalivyo mengi matendo yako! Kwa hekima umevifanya vyote pia. Dunia imejaa viumbe wako.


Mtu asipoongoka ataunoa upanga wake; Ameupinda uta wake na kuuweka tayari;


Katika siku hiyo BWANA, kwa upanga wake ulio mkali, ulio mkubwa, ulio na nguvu, atamwadhibu Lewiathani, nyoka yule mwepesi, na Lewiathani, nyoka yule mwenye kuzongazonga; naye atamwua yule joka aliye baharini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo