Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 40:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 Mifupa yake ni kama mirija ya shaba; Mbavu zake ni kama vipande vya chuma.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Mifupa yake ni mabomba ya shaba, viungo vyake ni kama pao za chuma.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Mifupa yake ni mabomba ya shaba, viungo vyake ni kama pao za chuma.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Mifupa yake ni mabomba ya shaba, viungo vyake ni kama pao za chuma.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Mifupa yake ni bomba za shaba, maungo yake ni kama fito za chuma.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Mifupa yake ni bomba za shaba, maungo yake ni kama fito za chuma.

Tazama sura Nakili




Yobu 40:18
4 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye hutikisa mkia wake mfano wa mwerezi; Mishipa ya mapaja yake yanaungamana pamoja.


Yeye ni wa kwanza kwa hayo matendo makuu ya Mungu; Ni Muumba wake tu awezaye kumkabili kwa upanga wake.


Je! Mimi ni bahari, au je! Ni nyangumi? Hata ukawaweka walinzi juu yangu?


Kwa sababu nilijua ya kuwa wewe u mkaidi, na shingo yako ni shingo ya chuma, na kipaji cha uso wako ni shaba;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo