Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 40:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

17 Yeye hutikisa mkia wake mfano wa mwerezi; Mishipa ya mapaja yake yanaungamana pamoja.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Huufanya mkia wake mgumu kama mwerezi, mishipa ya mapaja yake imeshonwa pamoja.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Huufanya mkia wake mgumu kama mwerezi, mishipa ya mapaja yake imeshonwa pamoja.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Huufanya mkia wake mgumu kama mwerezi, mishipa ya mapaja yake imeshonwa pamoja.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Mkia wake hutikisika kama mwerezi; mishipa ya mapaja yake imesukwa pamoja.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Mkia wake hutikisika kama mwerezi; mishipa ya mapaja yake imesukwa pamoja.

Tazama sura Nakili




Yobu 40:17
5 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu akaumba nyangumi wakubwa, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho, ambavyo maji yalijawa navyo kwa wingi kwa jinsi zao, na kila ndege arukaye, kwa jinsi yake; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.


Umenivika ngozi na nyama, Na kuniunga pamoja kwa mifupa na mishipa.


Tazama basi, nguvu zake zimo katika viuno vyake, Na uwezo wake u katika mishipa ya tumbo lake.


Mifupa yake ni kama mirija ya shaba; Mbavu zake ni kama vipande vya chuma.


Minofu ya nyama yake hushikamana; Yanakazana juu yake; hayawezi kuondolewa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo