Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 40:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

15 Mwangalie huyo kiboko, niliyemwumba pamoja nawe; Yeye hula nyasi kama ng'ombe,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 “Liangalie lile dude Behemothi, nililoliumba kama nilivyokuumba wewe. Hilo hula nyasi kama ng'ombe,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 “Liangalie lile dude Behemothi, nililoliumba kama nilivyokuumba wewe. Hilo hula nyasi kama ng'ombe,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 “Liangalie lile dude Behemothi, nililoliumba kama nilivyokuumba wewe. Hilo hula nyasi kama ng'ombe,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 “Mwangalie mnyama aitwaye Behemothi, niliyemuumba kama nilivyokuumba wewe, anayekula majani kama ng’ombe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 “Mwangalie mnyama aitwaye Behemothi, niliyemuumba kama nilivyokuumba wewe, anayekula majani kama ng’ombe.

Tazama sura Nakili




Yobu 40:15
7 Marejeleo ya Msalaba  

Upana wa milima ni malisho yake, Hutafutatafuta kila kitu kilicho kibichi.


Ndipo mimi nami nitazikiri habari zako, Ya kuwa mkono wako wa kulia waweza kukuokoa.


Tazama basi, nguvu zake zimo katika viuno vyake, Na uwezo wake u katika mishipa ya tumbo lake.


Yeye ni wa kwanza kwa hayo matendo makuu ya Mungu; Ni Muumba wake tu awezaye kumkabili kwa upanga wake.


Hakika milima humtolea chakula; Hapo wachezapo wanyama pori wote.


Huyameesha majani kwa makundi, Na maboga kwa matumizi ya mwanadamu; Ili atoe chakula katika nchi,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo