Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 40:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

10 Haya! Jivike sasa fahari na ukuu; Jipambe heshima na enzi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 “Basi, jioneshe kuwa na fahari na ukuu, ujipambe kwa utukufu na fahari.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 “Basi, jioneshe kuwa na fahari na ukuu, ujipambe kwa utukufu na fahari.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 “Basi, jioneshe kuwa na fahari na ukuu, ujipambe kwa utukufu na fahari.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Basi jivike mwenyewe utukufu na fahari, nawe uvae heshima na enzi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Basi jivike mwenyewe utukufu na fahari, nawe uvae heshima na enzi.

Tazama sura Nakili




Yobu 40:10
16 Marejeleo ya Msalaba  

Ee BWANA, ukuu ni wako, na uweza, na utukufu, na ushindi, na enzi; maana vitu vyote vilivyo mbinguni na duniani ni vyako; ufalme ni wako, Ee BWANA, nawe umetukuzwa, u mkuu juu ya vitu vyote.


Je! Wewe ulimpa farasi uwezo wake? Au, ni wewe uliyemvika shingo yake manyoya yatetemayo?


Kwa kuwa BWANA awaridhia watu wake, Huwapamba wenye upole kwa wokovu.


Utukufu wake ni mkuu kwa wokovu wako, Heshima na adhama waweka juu yake.


Tokea Sayuni, ukamilifu wa uzuri, Mungu ameangaza kote.


BWANA ametamalaki, amejivika adhama, BWANA amejivika, ukuu na nguvu, kama mavazi ya kifalme. Naam, ulimwengu umethibitika usitikisike;


Nawe utamfanyia Haruni ndugu yako mavazi matakatifu, kwa utukufu na kwa uzuri.


Siku hiyo chipukizi la BWANA litakuwa zuri, lenye utukufu, na matunda ya nchi yatakuwa mema sana, na kupendeza, kwa ajili ya Waisraeli wale waliookoka.


Akajivika haki kama deraya kifuani, na chapeo cha wokovu kichwani pake, akajivika mavazi ya kisasi yawe mavazi yake, naye alivikwa wivu kama joho.


Na usitutie majaribuni, lakini utuokoe na yule mwovu. [Kwa kuwa ufalme ni wako, na nguvu, na utukufu, hata milele. Amina.]


Basi huu uharibikao utakapovaa kutoharibika, na huu wa kufa utakapovaa kutokufa, hapo ndipo litakapokuwa lile neno lililoandikwa, Mauti imemezwa katika ushindi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo