Yobu 4:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC9 Kwa pumzi za Mungu huangamia. Na kwa kuvuma kwa hasira zake humalizika. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Mungu huwaangamiza hao kwa pumzi yake, hao huteketezwa kwa pigo la hasira yake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Mungu huwaangamiza hao kwa pumzi yake, hao huteketezwa kwa pigo la hasira yake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Mungu huwaangamiza hao kwa pumzi yake, hao huteketezwa kwa pigo la hasira yake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Kwa pumzi ya Mungu huangamizwa; kwa mshindo wa hasira zake huangamia. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Kwa pumzi ya Mungu huangamizwa; kwa mshindo wa hasira zake huangamia. Tazama sura |