Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 4:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

6 Je! Dini yako siyo tegemeo lako? Na matumaini yako si huo uelekevu wa njia zako?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Je, kumcha Mungu si ndilo tegemeo lako? Na unyofu wako si ndilo tumaini lako?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Je, kumcha Mungu si ndilo tegemeo lako? Na unyofu wako si ndilo tumaini lako?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Je, kumcha Mungu si ndilo tegemeo lako? Na unyofu wako si ndilo tumaini lako?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Je, kumcha Mungu kwako hakupaswi kuwa ndiyo matumaini yako na njia zako kutokuwa na lawama ndilo taraja lako?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Je, kumcha Mungu kwako hakupaswi kuwa ndiyo matumaini yako na njia zako kutokuwa na lawama ndilo taraja lako?

Tazama sura Nakili




Yobu 4:6
17 Marejeleo ya Msalaba  

Nakusihi, BWANA, ukumbuke sasa, jinsi nilivyokwenda mbele zako katika kweli na kwa moyo mkamilifu, na kutenda yaliyo mema machoni pako. Hezekia akalia sana sana.


Palikuwa na mtu katika nchi ya Usi, jina lake alikuwa akiitwa Ayubu; mtu huyo alikuwa mkamilifu na mwelekevu, ni mmoja aliyemcha Mungu, na kuepukana na uovu.


Tazama, ataniua; sina tumaini; Ila hata hivyo nitaithibitisha njia yangu mbele yake.


Ijapokuwa hakuna udhalimu mikononi mwangu, Na kuomba kwangu ni safi.


Basi, tumaini langu liko wapi? Na tumaini langu, ni nani atakayeliona?


Ee BWANA, unihukumu mimi, Maana nimekwenda kwa ukamilifu wangu, Nami nimemtumaini BWANA bila wasiwasi.


Jeshi lijapojipanga kupigana nami, Moyo wangu hautaogopa. Vita vijaponitokea, Hata hapo nitatumainia BWANA.


Kumcha BWANA ni tumaini imara; Watoto wake watakuwa na kimbilio.


Kwa kuwa BWANA atakuwa tumaini lako, Naye atakulinda mguu wako usinaswe.


Nyakati zako zitakuwa nyakati za kukaa imara; za wokovu tele na hekima na maarifa; kumcha BWANA ni hazina yake ya akiba.


Kwa hiyo iweni tayari, na makini; mkiitumainia kwa utimilifu ile neema mtakayoletewa katika ufunuo wake Yesu Kristo.


Na ikiwa mnamwita Baba, yeye ahukumuye kila mtu pasipo upendeleo, kwa kadiri ya kazi yake, nendeni kwa hofu katika wakati wenu wa kukaa hapa kama wageni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo