Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 4:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

5 Lakini sasa haya yamekufikia wewe, nawe wafa moyo; Yamekugusa, nawe wafadhaika.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Lakini sasa yamekupata, nawe ukakosa subira, yamekugusa, nawe ukafadhaika.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Lakini sasa yamekupata, nawe ukakosa subira, yamekugusa, nawe ukafadhaika.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Lakini sasa yamekupata, nawe ukakosa subira, yamekugusa, nawe ukafadhaika.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Lakini sasa hii taabu imekujia wewe, nawe unashuka moyo; imekupiga wewe, nawe unafadhaika.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Lakini sasa hii taabu imekujia wewe, nawe unashuka moyo; imekupiga wewe, nawe unafadhaika.

Tazama sura Nakili




Yobu 4:5
12 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini nyosha mkono wako sasa, uyaguse hayo yote aliyo nayo, naye atakukufuru mbele za uso wako.


Nihurumieni, nihurumieni, enyi rafiki zangu, Kwa maana mkono wa Mungu umenigusa.


Lakini sasa nyosha mkono wako, uuguse mfupa wake na nyama yake, naye atakukufuru mbele za uso wako.


Maneno yako yamemtegemeza huyo aliyekuwa anaanguka, Nawe umeyaimarisha magoti manyonge.


Kwake huyo atakaye kuzima roho inapasa atendewe mema na rafiki; Hata kwake huyo aachaye kumcha Mwenyezi.


Ee BWANA, nilikulilia Wewe, Naam, kwa BWANA niliomba dua.


Ukizimia siku ya taabu, Nguvu zako ni chache.


Kwa sababu hiyo, kwa kuwa tuna huduma hii, kwa jinsi tulivyopata rehema, hatulegei;


Kwa hiyo hatulegei; bali ijapokuwa utu wetu wa nje unachakaa, lakini utu wetu wa ndani unafanywa upya siku kwa siku.


Maana mtafakarini sana yeye aliyeyastahimili upinzani mkuu namna hii ya watendao dhambi juu ya nafsi zao, msije mkachoka, mkizimia mioyoni mwenu.


tena mmeyasahau yale maonyo, yasemayo nanyi kama kusema na wana, Mwanangu, usiyadharau maonyo ya Bwana, Wala usife moyo ukiadhibiwa naye;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo