Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 4:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

4 Maneno yako yamemtegemeza huyo aliyekuwa anaanguka, Nawe umeyaimarisha magoti manyonge.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Maneno yako yamewainua waliokufa moyo, umewaimarisha waliokosa nguvu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Maneno yako yamewainua waliokufa moyo, umewaimarisha waliokosa nguvu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Maneno yako yamewainua waliokufa moyo, umewaimarisha waliokosa nguvu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Maneno yako yamewategemeza wale waliojikwaa; umeyatia nguvu magoti yaliyokuwa dhaifu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Maneno yako yamewategemeza wale waliojikwaa; umeyatia nguvu magoti yaliyokuwa dhaifu.

Tazama sura Nakili




Yobu 4:4
15 Marejeleo ya Msalaba  

Maana sikio liliponisikia, ndipo likanibarikia; Na jicho liliponiona, likanishuhudia.


Niliwachagulia njia, nikakaa kama mkuu wao. Nikakaa kama mfalme katika jeshi la askari, Mfano wa awafarijiye hao waombolezao.


Tazama, wewe umewafunza watu wengi, Nawe umeitia nguvu mikono iliyokuwa minyonge.


Lakini sasa haya yamekufikia wewe, nawe wafa moyo; Yamekugusa, nawe wafadhaika.


BWANA huwategemeza wote waangukao, Huwainua wote walioinama chini.


Kuna anenaye bila kufikiri, kama kuchoma kwa upanga; Bali ulimi wa mwenye haki ni afya.


Neno linenwalo wakati ufaao, Ni kama machungwa katika vyano vya fedha.


Bwana MUNGU amenipa ulimi wa hao wafundishwao, nipate kujua jinsi ya kumtegemeza kwa maneno yeye aliyechoka, huniamsha asubuhi baada ya asubuhi; huniamsha, sikio langu lipate kusikia kama watu wafundishwao.


Ndipo uso wa mfalme ukambadilika; fikira zake zikamfadhaisha; viungo vya viuno vyake vikalegea; magoti yake yakagongana.


hata kinyume cha hayo, ni afadhali mmsamehe na kumfariji, mtu kama huyo asije akamezwa katika huzuni yake ipitayo kiasi.


Lakini Mungu, mwenye kuwafariji wanyonge, alitufariji kwa kuja kwake Tito.


Ndugu, tunawasihi, waonyeni wale wasiokaa kwa utaratibu; watieni moyo walio dhaifu; watieni nguvu wanyonge; vumilieni na watu wote.


Kwa hiyo inyosheni mikono iliyolegea na magoti yaliyopooza,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo