Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 4:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Kati ya asubuhi na jioni huvunjwa-vunjwa; Waangamia milele wala hapana atiaye moyoni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Binadamu kwa masaa machache tu waweza kuangamia; huangamia milele bila kuacha hata alama yao!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Binadamu kwa masaa machache tu waweza kuangamia; huangamia milele bila kuacha hata alama yao!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Binadamu kwa masaa machache tu waweza kuangamia; huangamia milele bila kuacha hata alama yao!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Kati ya mawio na machweo huvunjwa vipande vipande; bila yeyote kutambua, huangamia milele.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Kati ya mawio na machweo huvunjwa vipande vipande; bila yeyote kutambua, huangamia milele.

Tazama sura Nakili




Yobu 4:20
14 Marejeleo ya Msalaba  

Walivunjikavunjika, taifa juu ya taifa, na mji juu ya mji; kwa sababu Mungu aliwafadhaisha kwa shida zote.


Alikuwa na umri wa miaka thelathini na miwili alipoanza kutawala, akatawala huko Yerusalemu miaka minane; akafariki bila kutamaniwa; wakamzika mjini mwa Daudi, ila si katika makaburi ya wafalme.


Mtu akifa, je! Atakuwa hai tena? Mimi ningengoja siku zote za huduma yangu, Hadi kufunguliwa kwangu kunifikie.


Yeye huchanua kama vile ua, kisha hukatwa; Hukimbia kama kivuli, wala hakai kamwe.


Wewe wamshinda nguvu sikuzote, naye hupita aende zake Wabadili sura zake, na kumtuma aende mbali.


Kwani ikiisha pita miaka michache, Nitakwenda njia hiyo ambayo sitarudi tena.


Kumbukumbu lake litakoma katika nchi, Wala hatakuwa na jina mashambani.


Hata hivyo ataangamia milele kama mavi yake mwenyewe; Hao waliomwona watasema, Yuko wapi?


Nikapita na kumbe! Hayuko, Nikamtafuta wala hakuonekana.


Uache kunitazama, ndio nipate kufurahi tena, Kabla sijafa na kutoweka kabisa.


Hata wasio haki wakichipuka kama majani Na wote watendao maovu wakastawi. Mwishowe wataangamizwa milele;


Kuwakumbuka wenye haki huwa na baraka; Bali jina la mtu mwovu litaoza.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo