Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 39:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

9 Je! Nyati atakubali kukutumikia? Au atakaa katika zizi lako?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 “Je, nyati atakubali kukutumikia? Au je, atakubali kulala zizini mwako?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 “Je, nyati atakubali kukutumikia? Au je, atakubali kulala zizini mwako?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 “Je, nyati atakubali kukutumikia? Au je, atakubali kulala zizini mwako?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 “Je, nyati atakubali kukutumikia? Atakaa karibu na hori lako usiku?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 “Je, nyati atakubali kukutumikia? Atakaa karibu na hori lako usiku?

Tazama sura Nakili




Yobu 39:9
9 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Waweza kumfunga nyati kwa kamba matutani? Au, yeye atayalima mabonde nyuma yako?


Upana wa milima ni malisho yake, Hutafutatafuta kila kitu kilicho kibichi.


Kinywani mwa simba uniokoe; Naam, toka pembe za nyati umenijibu.


Airusharusha Lebanoni kama ndama wa ng'ombe; Lebanoni na Sirioni kama mwananyati.


Bali pembe yangu umeiinua kama pembe ya nyati, Nimepakwa mafuta mabichi.


Ng'ombe amjua bwana wake, Na punda ajua kibanda cha bwana wake; Bali Israeli hajui, watu wangu hawafikiri.


Na nyati watateremka pamoja nao, na ndama pamoja na mafahali, na nchi yao italewa kwa damu, na mavumbi yake yatanoneshwa kwa shahamu.


Mungu amewaleta kutoka Misri, Naye ana nguvu kama nguvu za nyati.


Mzaliwa wa kwanza wa ng'ombe wake mume, enzi ni yake; Na pembe zake ni pembe za nyati; Kwa hizo atayasukuma mataifa yote, hata ncha za nchi; Nao ni makumi ya maelfu ya Efraimu, Nao ni maelfu ya Manase.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo