Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 39:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

8 Upana wa milima ni malisho yake, Hutafutatafuta kila kitu kilicho kibichi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Hutembeatembea milimani kupata malisho, na kutafuta chochote kilicho kibichi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Hutembeatembea milimani kupata malisho, na kutafuta chochote kilicho kibichi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Hutembeatembea milimani kupata malisho, na kutafuta chochote kilicho kibichi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Huzunguka vilimani kwa ajili ya malisho na kutafuta kila kitu kibichi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Huzunguka vilimani kwa ajili ya malisho na kutafuta kila kitu kibichi.

Tazama sura Nakili




Yobu 39:8
9 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye hudharau mshindo wa mji, Wala hasikii kelele zake msimamizi.


Je! Nyati atakubali kukutumikia? Au atakaa katika zizi lako?


Mwangalie huyo kiboko, niliyemwumba pamoja nawe; Yeye hula nyasi kama ng'ombe,


Je! Huyo punda mwitu hulia akiwa na majani? Au, ng'ombe hulia akiwa malishoni?


Na kila kitu kitakachoangukiwa na kipande chochote cha mizoga yao kitakuwa najisi; iwe ni tanuri, au meko ya vyungu, kitavunjwa vipande vipande; ni najisi vitu hivyo, navyo vitakuwa najisi kwenu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo