Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 39:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

6 Ambaye nimeifanya nyika kuwa nyumba yake, Na nchi ya chumvi kuwa makao yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Mimi niliwapa jangwa liwe makao yao, mbuga zenye chumvi kuwa makazi yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Mimi niliwapa jangwa liwe makao yao, mbuga zenye chumvi kuwa makazi yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Mimi niliwapa jangwa liwe makao yao, mbuga zenye chumvi kuwa makazi yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Nimempa nchi isiyokaliwa na watu kuwa masikani yake, nchi ya chumvi kuwa makao yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Nimempa nchi isiyokaliwa na watu kuwa masikani yake, nchi ya chumvi kuwa makao yake.

Tazama sura Nakili




Yobu 39:6
9 Marejeleo ya Msalaba  

Tazama, kama punda mwitu jangwani Wao hutoka kwenda kazini mwao, wakitafuta chakula kwa bidii; Jangwa huwapa chakula cha watoto wao.


Yeye hudharau mshindo wa mji, Wala hasikii kelele zake msimamizi.


Nchi ya matunda mengi ikawa uwanda wa chumvi, Kwa sababu ya uovu wa wakazi wake.


Na punda mwitu husimama juu ya vilele vya milima, Hutwetea pumzi kama mbwamwitu; Macho yao hayaoni sawasawa, Kwa kuwa hapana majani.


Maana atakuwa kama fukara nyikani, Hataona yatakapotokea mema; Bali atakaa jangwani palipo ukame, Katika nchi ya chumvi isiyokaliwa na watu.


punda wa mwitu aliyeizoelea nyika, avutaye pumzi za upepo katika tamaa yake; katika wakati wake ni nani awezaye kumgeuza? Wote wamtafutao hawatajichosha nafsi zao; katika mwezi wake watamwona.


Bali mahali penye matope, na maziwa yake, hayataponywa; yataachwa yawe ya chumvi.


Kwa maana wamekwea kwenda Ashuru, mfano wa punda wa porini aliye peke yake; Efraimu ameajiri wapenzi.


ya kuwa nchi yake nzima ni kibiriti, na chumvi, na kuteketea, haipandwi, wala haizai, wala nyasi hazimei humo, kama mapinduko ya Sodoma na Gomora, Adma na Seboimu, aliyoipindua BWANA kwa ghadhabu yake na hasira zake;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo