Yobu 39:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC5 Ni nani aliyemwacha pundamilia aende huru? Au je! Ni nani aliyemfungulia vifungo punda mwitu? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 “Nani aliyemwacha huru pundamwitu? Nani aliyewaacha waende kwa kuwafungua? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 “Nani aliyemwacha huru pundamwitu? Nani aliyewaacha waende kwa kuwafungua? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 “Nani aliyemwacha huru pundamwitu? Nani aliyewaacha waende kwa kuwafungua? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 “Ni nani aliyemwachia punda-mwitu awe huru? Ni nani aliyezifungua kamba zake? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 “Ni nani aliyemwachia punda-mwitu awe huru? Ni nani aliyezifungua kamba zake? Tazama sura |
Akafukuzwa mbali na wanadamu, moyo wake ukafanywa kuwa kama moyo wa mnyama, na makao yake yalikuwa pamoja na punda mwitu; akalishwa majani kama ng'ombe, mwili wake ukalowa maji kwa umande wa mbinguni; hata alipojua ya kuwa Mungu Aliye Juu ndiye anayetawala katika ufalme wa wanadamu, na ya kuwa humweka juu yake yeye amtakaye, awaye yote.