Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 39:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

26 Je! Mwewe huruka juu kwa akili zako, Na kuyanyosha mabawa yake kwenda kusini?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 “Je, mwewe amejifunza kwako jinsi ya kuruka, na kunyosha mabawa yake kuelekea kusini?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 “Je, mwewe amejifunza kwako jinsi ya kuruka, na kunyosha mabawa yake kuelekea kusini?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 “Je, mwewe amejifunza kwako jinsi ya kuruka, na kunyosha mabawa yake kuelekea kusini?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 “Je, mwewe huruka kwa hekima yako na kuyakunjua mabawa yake kuelekea kusini?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 “Je, mwewe huruka kwa hekima yako na kuyakunjua mabawa yake kuelekea kusini?

Tazama sura Nakili




Yobu 39:26
6 Marejeleo ya Msalaba  

Kila ipigwapo baragumu yeye husema, Aha! Naye husikia harufu ya vita toka mbali, Mshindo wa makamanda, na makelele.


Je! Tai hupaa juu kwa amri yako, Na kufanya kiota chake mahali pa juu?


Maua yatokea katika nchi, Wakati wa kuimba umefika, Na sauti ya mwigo husikiwa kwetu.


Naam, koikoi angani ajua nyakati zake zilizoamriwa; na hua na mbayuwayu na korongo huangalia wakati wa kuja kwao; bali watu wangu hawazijui amri za BWANA.


Na Haruni atamsongeza ng'ombe wa sadaka ya dhambi, aliye kwa ajili ya nafsi yake, na kufanya upatanisho kwa ajili ya nafsi yake mwenyewe, na kwa ajili ya nyumba yake; naye atamchinja yule ng'ombe wa sadaka ya dhambi, aliye kwa ajili ya nafsi yake.


na mbuni, na kirukanjia, na dudumizi, na kipanga kwa aina zake;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo