Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 39:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

21 Huparapara bondeni, na kuzifurahia nguvu zake; Hutoka kwenda kukutana na wenye silaha.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Huparapara ardhi mabondeni kwa pupa; hukimbilia kwenye mapigano kwa nguvu zake zote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Huparapara ardhi mabondeni kwa pupa; hukimbilia kwenye mapigano kwa nguvu zake zote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Huparapara ardhi mabondeni kwa pupa; hukimbilia kwenye mapigano kwa nguvu zake zote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Huparapara bila woga, akizifurahia nguvu zake, husonga mbele kukabiliana na silaha.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Huparapara bila woga, akizifurahia nguvu zake, husonga mbele kukabiliana na silaha.

Tazama sura Nakili




Yobu 39:21
8 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye hufanyia kicho dhihaka, wala hashangai; Wala hageuki kurudi nyuma mbele ya upanga.


Nalo hutokeza kama bwana arusi akitoka chumbani mwake, Lafurahi kama mtu aliye hodari Kwenda mbio katika njia yake.


Farasi huwekwa tayari kwa siku ya vita; Lakini BWANA ndiye aletaye wokovu.


Nilisikiliza nikasikia, lakini walisema yasiyo sawa; hapana mtu aliyetubia maovu yake, akisema, Nimefanya nini? Kila mtu hurudia mwendo wake mwenyewe, kama farasi aendavyo kasi vitani.


BWANA asema hivi, Mwenye hekima asijisifu kwa sababu ya hekima yake, wala mwenye nguvu asijisifu kwa sababu ya nguvu zake, wala tajiri asijisifu kwa sababu ya utajiri wake;


Kisha, kwa kishindo kwato za farasi zilipigapiga, Kwa maana walivyoenda shoti, Walipowakimbiza farasi wenye nguvu.


Hata Mfilisti alipotazama huku na huku, akamwona Daudi akamdharau; kwa kuwa ni kijana tu mwekundu, tena ana sura nzuri.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo