Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 39:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

19 Je! Wewe ulimpa farasi uwezo wake? Au, ni wewe uliyemvika shingo yake manyoya yatetemayo?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 “Je, Yobu, ndiwe uliyewapa farasi nguvu, ukawavika shingoni manyoya marefu?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 “Je, Yobu, ndiwe uliyewapa farasi nguvu, ukawavika shingoni manyoya marefu?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 “Je, Yobu, ndiwe uliyewapa farasi nguvu, ukawavika shingoni manyoya marefu?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 “Je, wewe humpa farasi nguvu au kuivika shingo yake manyoya marefu?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 “Je, wewe humpa farasi nguvu au kuivika shingo yake manyoya marefu?

Tazama sura Nakili




Yobu 39:19
11 Marejeleo ya Msalaba  

Wakati anapojiinua juu aende, Humdharau farasi na mwenye kumpanda.


Ndiwe uliyemfanya aruke kama nzige? Fahari ya mlio wake hutisha.


Kila ipigwapo baragumu yeye husema, Aha! Naye husikia harufu ya vita toka mbali, Mshindo wa makamanda, na makelele.


Katika shingo yake hukaa nguvu, Na utisho hucheza mbele yake.


Ee nafsi yangu, umhimidi BWANA. Wewe, BWANA, Mungu wangu, Umejifanya mkuu sana; Umejivika heshima na utukufu.


Hapendezwi na nguvu za farasi, Wala hairidhii miguu ya mkimbiaji.


Farasi hafai kitu kwa wokovu, Wala hamponyi mtu kwa wingi wa nguvu zake.


BWANA ametamalaki, amejivika adhama, BWANA amejivika, ukuu na nguvu, kama mavazi ya kifalme. Naam, ulimwengu umethibitika usitikisike;


Ndipo Musa na wana wa Israeli wakamwimbia BWANA wimbo huu wakanena, na kusema, Nitamwimbia BWANA, kwa maana ametukuka sana; Farasi na mpanda farasi amewatupa baharini.


na Yakobo, mwana wa Zebedayo, na Yohana nduguye Yakobo, akawapa jina la Boanerge, maana yake, wana wa ngurumo;


Kisha, kwa kishindo kwato za farasi zilipigapiga, Kwa maana walivyoenda shoti, Walipowakimbiza farasi wenye nguvu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo