Yobu 39:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC13 Bawa la mbuni hufurahi; Lakini mabawa yake na manyoya yake, je! Yana huruma? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 “Mbuni hupigapiga mabawa yake kwa madaha, lakini hawezi kuruka kama korongo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 “Mbuni hupigapiga mabawa yake kwa madaha, lakini hawezi kuruka kama korongo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 “Mbuni hupigapiga mabawa yake kwa madaha, lakini hawezi kuruka kama korongo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 “Mbuni hupigapiga mabawa yake kwa furaha, lakini hayawezi kulinganishwa na mabawa na manyoya ya korongo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 “Mbuni hupigapiga mabawa yake kwa furaha, lakini hayawezi kulinganishwa na mabawa na manyoya ya korongo. Tazama sura |