Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 39:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Je! Utamtumaini kwa sababu ana nguvu nyingi? Au, utamwachia yeye kazi yako?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Je, utamtegemea kwa kuwa ana nguvu nyingi na kumwacha akufanyie kazi zako nzito?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Je, utamtegemea kwa kuwa ana nguvu nyingi na kumwacha akufanyie kazi zako nzito?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Je, utamtegemea kwa kuwa ana nguvu nyingi na kumwacha akufanyie kazi zako nzito?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Je, utamtumainia kwa ajili ya nguvu zake nyingi? Utamwachia yeye kazi zako nzito?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Je, utamtumainia kwa ajili ya nguvu zake nyingi? Utamwachia yeye kazi zako nzito?

Tazama sura Nakili




Yobu 39:11
16 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila kiumbe kitambaacho nchini.


Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuimiliki; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi.


Wakawatwika punda wao nafaka yao, wakatoka huko.


Kila mnyama wa nchi atawaogopa ninyi na kuwahofu, na kila ndege wa angani: pamoja na vitu vyote vilivyojaa katika ardhi, na samaki wote wa baharini; vimetiwa mikononi mwenu.


Je! Waweza kumfunga nyati kwa kamba matutani? Au, yeye atayalima mabonde nyuma yako?


Je! Utamtumaini kwamba ataileta mbegu yako nyumbani. Na kukusanya nafaka ya kiwanja chako cha kupuria?


Ng'ombe wetu na wabebe mizigo mizito, Kusiwe na kushambuliwa. Wala kusiwe na kuhamishwa, Wala malalamiko katika njia zetu.


Hapendezwi na nguvu za farasi, Wala hairidhii miguu ya mkimbiaji.


Hawa wanataja magari na hawa farasi, Lakini sisi tutalitaja jina la BWANA, Mungu wetu.


Zizi ni safi ambapo hapana ng'ombe; Bali nguvu za ng'ombe zaleta faida nyingi.


Bali ninyi mlisema, La! Maana tutakimbia juu ya farasi; basi, ni kweli, mtakimbia; tena, Sisi tutakimbia juu ya wanyama waendao upesi; basi, wale watakaowafuatia watakuwa wepesi.


Ufunuo juu ya wanyama wa Negebu. Katikati ya nchi ya taabu na dhiki, Ambayo hutoka huko simba jike na simba angurumaye, Nyoka na joka la moto arukaye, Huchukua mali zao mabegani mwa punda wachanga, Na hazina zao juu ya nundu za ngamia Waende kwa watu ambao hawatawafaa kitu.


Beli anaanguka chini, Nebo anainama; sanamu zao ziko juu ya wanyama, na juu ya ng'ombe; vitu vile mlivyokuwa mkivichukua huku na huku vimekuwa mzigo, mzigo wa kumlemea mnyama aliyechoka.


Mungu amewaleta kutoka Misri, Naye ana nguvu kama nguvu za nyati.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo