Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 39:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

10 Je! Waweza kumfunga nyati kwa kamba matutani? Au, yeye atayalima mabonde nyuma yako?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Je, waweza kumfunga nyati kamba kulima shamba, au avute jembe la kulimia?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Je, waweza kumfunga nyati kamba kulima shamba, au avute jembe la kulimia?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Je, waweza kumfunga nyati kamba kulima shamba, au avute jembe la kulimia?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Je, unaweza kumfungia kwenye matuta kwa kamba? Je, atalima mabonde nyuma yako?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Je, waweza kumfungia kwenye matuta kwa kamba? Je, atalima mabonde nyuma yako?

Tazama sura Nakili




Yobu 39:10
10 Marejeleo ya Msalaba  

mjumbe akamfikia Ayubu na kumwambia, Hao ng'ombe walikuwa wakilima, na punda walikuwa wakila karibu nao;


Je! Utamtumaini kwa sababu ana nguvu nyingi? Au, utamwachia yeye kazi yako?


Ni nani aliyemwacha pundamilia aende huru? Au je! Ni nani aliyemfungulia vifungo punda mwitu?


Yeye hudharau mshindo wa mji, Wala hasikii kelele zake msimamizi.


Je! Nyati atakubali kukutumikia? Au atakaa katika zizi lako?


Je! Utamchezea kama ndege? Au, kumfunga kwa ajili ya wasichana wako?


Wakulima wamelima mgongoni mwangu, Wamefanya mirefu mifuo yao.


Mfungie gari la vita farasi Aliye mwepesi, wakazi wa Lakishi; Alikuwa mwanzo wa dhambi kwa binti Sayuni; Maana makosa ya Israeli yameonekana kwako.


Mungu amewaleta kutoka Misri, Naye ana nguvu kama nguvu za nyati.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo