Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 38:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

6 Misingi yake ilikazwa juu ya kitu gani? Au ni nani aliyeliweka jiwe lake la pembeni,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Je, nguzo za dunia zimesimikwa juu ya nini, au nani aliyeliweka jiwe lake la msingi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Je, nguzo za dunia zimesimikwa juu ya nini, au nani aliyeliweka jiwe lake la msingi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Je, nguzo za dunia zimesimikwa juu ya nini, au nani aliyeliweka jiwe lake la msingi,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Je, misingi yake iliwekwa juu ya nini, au ni nani aliyeweka jiwe la pembeni,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Je, misingi yake iliwekwa juu ya nini, au ni nani aliyeweka jiwe la pembeni,

Tazama sura Nakili




Yobu 38:6
13 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye hutandaza kaskazi juu ya nafasi isiyo na kitu, Na kuutundika ulimwengu pasipo kitu.


Uliiweka nchi juu ya misingi yake, Isitikisike milele.


Jiwe walilolikataa waashi Limekuwa jiwe kuu la pembeni.


Wavulana wetu wakiwa ujanani wawe kama miche Iliyostawi kikamilifu. Binti zetu wawe kama nguzo za pembeni Zilizochongwa ili kupamba kasri.


Maana ameiweka misingi yake juu ya bahari, Na juu ya mito ya maji aliithibitisha.


BWANA ametamalaki, amejivika adhama, BWANA amejivika, ukuu na nguvu, kama mavazi ya kifalme. Naam, ulimwengu umethibitika usitikisike;


Alipoipa bahari mpaka wake, Kwamba maji yake yasiasi amri yake; Alipoiagiza misingi ya nchi;


kwa ajili ya hayo Bwana, MUNGU, asema hivi, Tazama, naweka jiwe katika Sayuni, liwe msingi, jiwe lililojaribiwa, jiwe la pembeni lenye thamani, msingi ulio imara; yeye aaminiye hatafanya haraka.


Ufunuo wa neno la BWANA juu ya Israeli. Haya ndiyo asemayo BWANA, azitandaye mbingu, auwekaye msingi wa dunia, aiumbaye roho ya mwanadamu ndani yake.


Maana hufumba macho yao wasione neno hili ya kuwa zilikuwako mbingu tangu zamani, na nchi pia, imefanyizwa kutoka katika maji, na ndani ya maji, kwa neno la Mungu;


Humwinua mnyonge kutoka mavumbini, Humpandisha mhitaji kutoka jaani, Ili awaketishe pamoja na wakuu, Wakakirithi kiti cha enzi cha utukufu; Kwa maana nguzo za dunia zina BWANA, Naye ameuweka ulimwengu juu yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo