Yobu 38:41 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC41 Ni nani anayempatia kunguru chakula, Makinda yake wanapomlilia Mungu, Na kutangatanga kwa kutindikiwa na chakula? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema41 Ni nani awapaye kunguru chakula chao, makinda yao yanaponililia mimi Mungu, na kurukaruka huku na huko kwa njaa? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND41 Ni nani awapaye kunguru chakula chao, makinda yao yanaponililia mimi Mungu, na kurukaruka huku na huko kwa njaa? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza41 Ni nani awapaye kunguru chakula chao, makinda yao yanaponililia mimi Mungu, na kurukaruka huku na huko kwa njaa? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu41 Ni nani ampaye kunguru chakula wakati makinda yake yanamlilia Mungu, yakizungukazunguka kwa ajili ya kukosa chakula? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu41 Ni nani ampaye kunguru chakula wakati makinda yake yanamlilia Mungu, yakizungukazunguka kwa ajili ya kukosa chakula? Tazama sura |