Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 38:35 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

35 Waweza kuutuma umeme, nao ukaenda, Ukakuambia, Sisi tupo hapa?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

35 Je, wewe ukiamuru umeme umulike, utakujia na kusema: ‘Nipo hapa?’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

35 Je, wewe ukiamuru umeme umulike, utakujia na kusema: ‘Nipo hapa?’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

35 Je, wewe ukiamuru umeme umulike, utakujia na kusema: ‘Nipo hapa?’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

35 Je, wewe hutuma miali ya radi kwenye njia zake? Je, hutoa taarifa kwako kukuambia, ‘Sisi tuko hapa’?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

35 Je, wewe hutuma umeme wa radi kwenye njia zake? Je, hutoa taarifa kwako kukuambia, ‘Sisi tuko hapa’?

Tazama sura Nakili




Yobu 38:35
13 Marejeleo ya Msalaba  

Eliya akajibu, akamwambia yule kamanda wa hamsini, Ikiwa mimi ni mtu wa Mungu, na ushuke moto kutoka mbinguni, ukuteketeze wewe na hamsini wako. Moto ukashuka, ukamteketeza, yeye na hamsini wake.


Tazama, moto ulishuka kutoka mbinguni, ukawateketeza wale kamanda wa hamsini wawili wa kwanza pamoja na hamsini wao; laiti sasa roho yangu na iwe na thamani machoni pako.


Yeye huifunika mikono yake kwa umeme; Na kuuagiza shabaha utakayopiga.


Yeye huituma iende chini ya mbingu zote, Na radi yake hata miisho ya nchi.


Musa akamwambia, Mara nitakapotoka mjini nitamwinulia BWANA mikono yangu; na hizo ngurumo zitakoma, wala haitanyesha mvua ya mawe tena; ili upate kujua ya kuwa dunia hii ni ya BWANA.


Kisha nikaisikia sauti ya Bwana, akisema, Nimtume nani, naye ni nani atakayekwenda kwa ajili yetu? Ndipo niliposema, Mimi hapa, nitume mimi.


Watu wasionitaka wanauliza habari zangu; nimeonekana na hao wasionitafuta; nililiambia taifa lisiloitwa kwa jina langu,


Kisha moto ukatoka hapo mbele za BWANA, na ukawateketeza, nao wakafa mbele za BWANA.


Kisha hao watu walikuwa kama wanung'unikao, wakinena maovu masikioni mwa BWANA; BWANA aliposikia hayo, hasira zake zikawaka; na moto wa BWANA ukawaka kati yao, ukateketeza hadi viunga vya kambi.


Kisha moto ukatoka kwa BWANA, ukawateketeza hao watu mia mbili hamsini waliofukiza uvumba.


Sauli akasema, Sikia sasa, Ewe mwana wa Ahitubu. Naye akaitika, Mimi hapa, bwana wangu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo