Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 38:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

29 Barafu ilitoka katika tumbo la nani? Na sakitu ya mbinguni ni nani aliyeizaa?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 Je, barafu ilitoka tumboni kwa nani? Nani aliyeizaa theluji?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 Je, barafu ilitoka tumboni kwa nani? Nani aliyeizaa theluji?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 Je, barafu ilitoka tumboni kwa nani? Nani aliyeizaa theluji?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 Barafu inatoka tumbo la nani? Ni nani azaaye ukungu kutoka mbinguni,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 Barafu inatoka tumbo la nani? Ni nani azaaye ukungu kutoka mbinguni,

Tazama sura Nakili




Yobu 38:29
5 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa pumzi ya Mungu barafu hutokea; Na uso wa maji huganda punde.


Maji hugandamana kama jiwe, Na uso wa vilindi huganda kwa baridi.


Au ni nani aliyeifunga bahari kwa milango, Hapo ilipotoka kwa nguvu kama kwamba imetoka tumboni mwa nchi.


Vilivyokuwa vyeusi kwa sababu ya barafu, Ambamo theluji hujificha.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo